a
1Kor 9:5
b
Mk 1:29-34
Matthew 8:14-15
14
a
Isa alipoingia nyumbani kwa Petro, alimkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, akiwa ana homa.
15
b
Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.
Copyright information for
SwhKC